Mali ya mamilioni ya pesa yaharibiwa na moto mjini Kisumu
Published on: August 28, 2017 09:08 (EAT)
Wanabiashara katika eneo mashuhuri la biashara la Tanganyika juakali huko Kisumu wanaendelea kukadiria hasara baada ya moto mkubwa kuteketeza mali yao
Wanabiashara hao wanalalamikia kile wanachodai ni utepetevu wa wazima moto eneo hilo ambao wanasema hawakufika kwa wakati ufaao. Moto huo umeteketeza magari pamoja na bidhaa nyinginezo zenye thamani ya mamilioni ya fedha. Wakazi sasa wanatoa wito kwa serikali kuwasaidia kurejelea hali yao ya kawaida
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment