Mama asiyejua kusoma wala kuandika ashinda Turkana
Published on: August 25, 2017 09:01 (EAT)
Hajui kusoma wala kuandika. Hajui Kiswahili wala kiingereza. Lakini wakazi wa wadi ya Lakezone eneo bunge laTurkana kaskazini katika kaunti ya Turkana, walimchagua kuwa diwani wao. Ni mama mwenye umri wa miaka 69 aliyepambana na wanaume wasomi na kuwashinda katika uchaguzi mkuu wa agosti nane. Cheboit Emmanuel anatupasha zaidi kutoka Turkana.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment