Mama azaa watoto wanne huko Kisii

Furaha na majonzi baada ya mwanamke mmoja kujifungua watoto wanne katika hospitali ya rufaa ya Kisii. Haya yanajiri huku mwanamke mwingine akijifungua mtoto akiwa na uvimbi kichwani katika kaunti jirani ya  Migori

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories