Mamake mhubiri Pius Muiru auwawa

Polisi katika eneo la kigumo kaunti ya muranga wanawazuiliwa washukiwa wawili kufuatia kifo cha mamake muhubiri pius muiru aliyetoweka siku tatu zilizopita na baadaye mwili wake kupatikana ukiwa umezikwa. Washukiwa hao ni mlinzi wa boma la mamake kasisi huyo na mkewe mwanawe ambao waliwaelekeza polisi katika eneo ambapo marehemu alikuwa amezikwa

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories