Mamia ya abiria watatizika katika vituo vya magari ya usafiri

Haya yanajiri huku muungano wa wamiliki wa matatu ukiomba wizara ya uchukuzi kuongeza muda wa usafiri hadi saa sita usiku mbali na saa kumi na mbili kama ilivyo sasa.

Tags:

matatu owners association Kimutai transport nightmare

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories