Mamia ya mashabiki waburudishwa na Rhumba la Radio Citizen
Published on: June 17, 2017 07:57 (EAT)
Mamia ya wapenzi wa Radio Citizen walijimwayamwaya katika hafla ya muziki wa Rhumba uliofanyika katika kilabu cha Connections Entertainment eneo la Mlolongo kaunti ya Machakos.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment