Mamlaka ya usalama barabarani yaanzisha oparesheni
Published on: September 28, 2016 11:25 (EAT)
Halmashauri ya kutathmini nidhamu ya maafisa wa polisi IPOA imeanzisha uchunguzi kubaini iwapo maafisa wa polisi walitumia nguvu kupita kiasi katika kuwafurusha wanafunzi wa chuo kikuu cha Multimedia waliokuwa wanaandamana siku ya Jumanne.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment