Manifesto ya Jubilee
Published on: June 25, 2017 08:10 (EAT)
Chama cha Jubilee kuzindua manifesto kesho. Maudhui ni ya kuendeleza yanayofanywa na serikali ,Sekta ya viwanda kuongoza ukuaji wa uchumi miundo msingi Kuimarishwa,masomo ya sekondari bila malipo kuanza mwaka ujao,nafasi 100,000 za ajira kwa vijana kila mwaka
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment