Maraga amtetea Jaji Odunga dhidi ya shutuma za Jubilee
Published on: August 02, 2017 08:10 (EAT)
Jaji mkuu David Maraga amepuuzilia mbali ombi la chama cha Jubilee kumzuia Jaji George Odunga kutoka kusikiza kesi zote zinazohusiana na masuala ya uchaguzi. Jaji mkuu amesema kuwa idara ya mahakama ni huru na haitakubali kuelekezwa na yeyote. Maraga amesema kuwa mahakama haitakubali kutishwa na wanasiasa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment