Maraga atetea mahakama

Jaji mkuu David Maraga na tume ya huduma za mahakama (JSC) wamekashifu vitisho vinavyoelekezewa majaji na wahudumu wengine wa mahakama kutokana na maamuzi waliyofanya. Maraga aliyeonekana kughadhabishwa na matukio ya hivi punde, amedai serikali kuu ikishiriana na bunge, imechukua mkondo wa kuwadhulumu majaji kwa kuwatishia na kuwachafulia majina, ili kuwashusha hadhi. Na kama anavyotuarifu Francis Gachuri, maraga anasema majaji wako radhi kupoteza maisha yao, baadala ya kukubali kushurutishwa kutoa maamuzi ya kupendelea.

Tags:

supreme court david maraga

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories