Maraga: Kulikuwa na kasoro katika mchakato wa uchaguzi

Mahakama ya upeo imeelezea kwa kina sababu za kubatilisha uchaguzi wa Rais Uhuru Kenyatta, huku ikiorodhesha msururu wa dosari za tume ya uchaguzi-IEBC katika maandalizi ya mchuano huo. Jaji mkuu David Maraga, naibu wake Philomena Mwilu, majaji Isaac Lenaola na Dkt Smokin Wanjala waliinyoshea kidole cha lawama tume ya IEBC kwa kufeli kuhakiki stakabadhi za kuwasilisha matokeo ya kura, na kuafiki kuwa mitambo ya upeperushaji matokeo ilivurugwa, baada ya iebc kudinda kuifungua ili ikaguliwe kama ilivyoagizwa na mahakama.

Tags:

supreme court david maraga mahakama ya juu

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories