Marehemu Nkaissery azikwa nyumbani kwake Ilbisil, Kajiado

Maelfu ya waombolezaji hii leo walifika nyumbani kwa Marehemu Joseph Ole Nkaissery kumpa mkono wa buriani. Rais Uhuru Kenyatta na kinara wa upinzani Raila Odinga walikuwa miongoni mwa wageni waliofika kumuomboleza Nkaissery huku wakihubiri amani.

Tags:

Ilbisil Nkaissery

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories