Marufuku dhidi ya mifuko ya plastiki kuanza kutekelezwa Agosti
Published on: May 27, 2017 08:54 (EAT)
Wafanyabiashara wadogo wadogo wameelezea wasiwasi wao kuhusu mpango wa kupiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki ifikapo mwezi Agosti mwaka huu. Wafanyibiashara hao wanalamika kuwa sheria ya kupiga marufuku matumizi ya karatasi hizo itawakadamiza kibiashara kwa sababu hufunga bidhaa nyingi kwa kutumia karatasi hizo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment