Marufuku dhidi ya utumizi wa mifuko ya plastiki yaanza kutekelezwa
Published on: August 28, 2017 09:12 (EAT)
Tarehe 28 mwezi Agosti iliyosubiriwa na wengi kama siku ya kupiga marufuku karatasi za plastiki hatimaye imefika. Hata hivyo kumekuwa na ulegevu na ushirikiano kwa kiwango sawa kwa marufuku hii kutoka kwa wafanyibiashara na wakaazi kote nchini.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment