Marwa asema oparesheni itaanza rasmi kesho
Published on: July 10, 2017 08:19 (EAT)
Oparesheni kali ya kijeshi inaendelea katika msitu wa Boni kujaribu kuwaondoa wanamgambo wa kundi la kigaidi la alshabab wanaosemekana kujificha ndani ya msitu huo. Haya yanajiri siku tatu tu baada ya watu tisa kuchinjwa kinyama na watu wanaodaiwa kuwa wapiganaji wa al shabab.
Saida Swaleh anaelezea hali ilivyo kwa sasa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment