Masaibu ya Joho
Published on: March 29, 2017 07:46 (EAT)
Masaibu ya Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho sasa yanaonekana kana kwamba yanaelekezwa mahakamani. Joho anakisiwa kukabiliwa na mashtaka ya kughushi stakabadhi na kuwasilisha stakabadhi ghushi . Gavana Joho alihojiwa na maafisa wa upelelezi wa jinai kwa saa mbili.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment