Masaibu Ya Mfu: Maiti amekuwa kwenye hifadhi kwa miaka minne, Migori
Published on: September 24, 2016 09:01 (EAT)
Alipotea miaka minne iliyopita. Familia yake ikakosa matumaini ya kumpata. Na alipopatikana, alikuwa mfu kwenye hifadhi ya maiti ya ya hospitali ya Awendo. Sasa familia ya mwendazake inayoishi Migori imeshindwa kuchangisha shilingi laki nne kuondoa mwili wa mpendwa wao na kuuzika. Kinaya ni duru zimeiarifu familia hiyo kuwa hospitali inapanga kuuza maiti kwenye taasisi ya utafiti. Mwanahabri wetu Kassim Adinasina kina cha taarifa hizo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment