Maseneta kujadili mswada uliopitishwa bungeni
Published on: December 26, 2016 09:24 (EAT)
Mjadala kuhusu sheria mpya za uchaguzi ungali umeshika kasi huku bunge la seneti likiwa mwamuzi wa mwisho iwapo sheria hizo zitaifikia meza ya rais au la. Bunge la seneti linatarajiwa kuwa na kikao maalumu kujadili sheria hizo kesho kutwa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment