Maseneta kujadili sheria tata za uchaguzi kesho

Maseneta wa mirengo ya Jubilee na Cord mchana kutwa wamekuwa kwenye mikutano ya kupanga mikakati, saa chache kabla ya kuandaliwa kwa kikao maalumu kujadili mapendekezo ya kupiga msasa vipengee kadhaa kwenye sheria za uchaguzi yaliyoibua utata. Na tofauti na kizaazaa kilichoibuka wiki jana katika bunge la kitaifa, maseneta wanasema watafanya kila juhudi kushawishiana kuhusu vipengee tata, bila ya kuvurugana wala kudhalilisha hadhi ya bunge.

Tags:

seneti sheria ya uchaguzi bunge

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories