Maseneta wateule wafunzwa kanuni za bunge

Wabunge na maseneta wataapishwa kuanzia saa tatu asubuhi hapo kesho kabla ya uchaguzi wa maspika na manaibu wao kufanyika. Shughuli za kutoa mafunzo kwa maseneta kuhusu kanuni za bunge ilikamilika hii leo.

Tags:

ken lusaka senate justin muturi National Assembly Speaker Ekwe Ethuro

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories