Maseneta wateule wafunzwa kanuni za bunge
Published on: August 30, 2017 08:25 (EAT)
Wabunge na maseneta wataapishwa kuanzia saa tatu asubuhi hapo kesho kabla ya uchaguzi wa maspika na manaibu wao kufanyika. Shughuli za kutoa mafunzo kwa maseneta kuhusu kanuni za bunge ilikamilika hii leo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment