Masharti kwa wanaotaka kununua unga huko Eldoret
Published on: June 13, 2017 10:48 (EAT)
Serikali imeanza mpango wa kusambaza mahindi katika kaunti ya Uasin Gishu katika hatua ambayo itawezesha wasaga mahindi eneo hilo kuendelea na biashara. Hata hivyo wenyeji wamepigwa na butwaa baada ya kujulishwa kuhusu masharti kabla ya kununua mahindi hayo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment