Mashirika 3 yapania kuwalisisha kesi kortini kupinga matokeo ya urais

Mashirika matatu ya kijamii yametupiwa jicho na serikali, huku muda wa kuwasilisha kesi ya kupinga matokeo ya marudio ya uchaguzi wa urais ukikatika siku ya Jumatatu. Mashirika hayo; Inuka Trust, Muhuri na Katiba Institute ni baadhi ya yale yanayodaiwa kujiandaa kuwasilisha kesi ya kumtoa Rais Uhuru Kenyatta nyama mdomoni kwa mara ya pili, kupitia agizo la mahakama ya upeo. Na kama anavyotuarifu Francis Gachuri, mazingira ya kupinga matokeo ya urais yamebadilishwa na ukarabati uliofanyiwa sheria mpya za uchaguzi.

Tags:

Katiba Institute PRESIDENTIAL PETITION MUHURI Inuka Trust

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories