Mashirika yaahidi kuajiri wauguzi wachache
Published on: October 21, 2017 08:27 (EAT)
Ni afueni kwa wagonjwa japo kwa kipindi kidogo, baada ya mashirika yasiyo ya kiserikali kuahidi kukwamua gurudumu la mgomo wa wauguzi. Mkurugenzi wa shirika la msalaba mwekundu nchini Abass Gullet anaeleza kuwa wanajaribu kupunguza maafa ambayo yatakabili taifa hili siku za usoni iwapo watoto hawatapata chanjo muhimu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment