Masomo yatatizika Kisumu kufuatia maandamano ya jana

Watoto wa shule moja ya chekechea iliyoko eneo la Nyalenda katika kaunti ya Kisumu hapo jana walijipata taabani baada ya polisi kurusha vitoa machozi katika shule yao. Inadaiwa polisi waliingia shuleni humo na hadi sasa haijabainika walichokuwa wakitafuta.

Tags:

police brutality kisumu anti-IEBC protests

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories