Masomo yatatizika Kisumu kufuatia maandamano ya jana
Published on: October 03, 2017 08:08 (EAT)
Watoto wa shule moja ya chekechea iliyoko eneo la Nyalenda katika kaunti ya Kisumu hapo jana walijipata taabani baada ya polisi kurusha vitoa machozi katika shule yao. Inadaiwa polisi waliingia shuleni humo na hadi sasa haijabainika walichokuwa wakitafuta.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment