Masomo yatatizwa vyuo vikuu vya umma
Published on: July 04, 2017 09:10 (EAT)
Wahadhiri katika vyuo vikuu nchini wameendeleza mgomo wao kwa siku ya pili hii leo huku wakiandamana katika sehemu tofauti nchini kwenye juhudi zao za kudhihirisha ghadhabu yao. Na katika kaunti ya Kirinyaga, mgombea ugavana Martha Karua amelazimika kukatiza hotuba yake ili kumsaidia mama mjamzito aliyepata uchungu wa uzazi mkutanoni.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment