Maswali yaibuka kuhusu wafanyibiashara halisi jijini
Published on: October 03, 2017 08:11 (EAT)
Kundi maarufu kama Nairobi Business Community lililojitokeza kupinga maandamano yaliyoitishwa na mrengo wa NASA limekanusha uhusiano wowote na kundi lililoharamishwa la Mungiki. Kundi hilo aidha linadai kumiliki biashara kadhaa jijini. Hii ni licha ya wamiliki wa biashara za kibinafsi waliosajiliwa na serikali kukana kuwatambua.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment