Maswali yaibuka kuhusu wafanyibiashara halisi jijini

Kundi maarufu kama Nairobi Business Community lililojitokeza kupinga maandamano yaliyoitishwa na mrengo wa NASA limekanusha uhusiano wowote na kundi lililoharamishwa la Mungiki. Kundi hilo aidha linadai kumiliki biashara kadhaa jijini. Hii ni licha ya wamiliki wa biashara za kibinafsi waliosajiliwa na serikali kukana kuwatambua.

Tags:

Mungiki Nairobi Business Community Nasa Demos anti-IEBC protests

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories