Maswali yaibuka kuhusu wafanyibiashara halisi jijini
Published on: October 03, 2017 08:11 (EAT)
Kundi maarufu kama Nairobi Business Community lililojitokeza kupinga maandamano yaliyoitishwa na mrengo wa NASA limekanusha uhusiano wowote na kundi lililoharamishwa la Mungiki. Kundi hilo aidha linadai kumiliki biashara kadhaa jijini. Hii ni licha ya wamiliki wa biashara za kibinafsi waliosajiliwa na serikali kukana kuwatambua.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment