Mataifa ya Ulaya yasuta misimamo ya Nasa na Jubilee

Mataifa ya magharibi yakiwemo Marekani, Uingereza na Ujerumani yamevisuta vyama vya Jubilee na NASA kutokana na mtafaruku unaoendelea kuhusu maandalizi ya marudio ya uchaguzi wa urais ambayo sasa yanasalia na siku kumi na nane pekee. Katika taarifa zilizotumiwa vyombo vya habari, mataifa hayo yameutaka muungano wa NASA kusitisha matakwa yake dhidi ya IEBC wanayosema yanahujumu juhudi za tume hiyo kuandaa uchaguzi huku chama cha Jubilee kikisutwa kwa kubadilisha sheria za uchaguzi.

Tags:

IEBC JUBILEE germany NASA UK US European union

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories