Matatizo ya tezi

Ukiambiwa pima unauliza nini, ukiambiwa fanyiwa uchunguzi wa afya yako mara kwa mara unasema uko sawa. Jackline Shibalira ni mmoja wa wale wanaosisitiza umuhimu wa kupimwa kwa sababu yeye aliugua maradhi ya tezi na kutibiwa magonjwa ambayo hayakuwepo, hivi sasa anafanya uhamasisho wa kuhakikisha watu wanapimwa mara kwa mara kujua iwapo wanaugua ndiposa wapate matibabu mapema.

Tags:

goita Tezi thyroid

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories