Matiangi Ahojiwa
Kamati ya Seneti kuhusu sheria na haki za binadam inaishinikiza halmashauri ya mawasiliano nchini na waziri wa habari kutatua mtafaruku wa kuhamia katika mfumo wa dijitali ili haki ya wananchi kupata habari isihujumiwe. Maseneta hao wamemhoji waziri wa mawasiliano Fred Matiang’i na mkurugenzi mkuu wa halamshauri ya masaliano nchini Francis Wangusi kuhusiana na uwezekano wa kuwapa wamiliki wa runinga za Citizen, NTV na KTN Muda wa kutosha kuhama huku wakitaka umiliki wa kampuni ya kichina ya pang uwekwe wazi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment