Matiang’i aapa kutoruhusu maandamano ya NASA katikati ya miji
Published on: October 13, 2017 08:22 (EAT)
Kaimu waziri wa usalama Dkt. Fred Matiang’i ameapa kuwachukulia viongozi wa NASA hatua kwa kupeleka maandamano ndani ya miji siku moja baada ya kupiga marufuku maandamano katikati mwa miji ya Nairobi, Mombasa na Kisumu. Matiang’i anasema shughuli ya kujumuisha hasara iliyoshuhudiwa jijini Nairobi imeanza na kwamba wana-NASA watafikishwa mahakamani kugharamia hasara hayo. Waziri amesema haya katika mahojiano na runinga ya Citizen.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment