Matiang’i ahakikisha kuwepo kwa usalama wakati wa mtihina

Waziri wa elimu Daktari Fred Matiang’i ametangaza kwamba mikakati na mipangilio yote inayohitajika katika kuandaa mitihani ya kitaifa ya KCPE na KCSE kwa njia shwari tayari imekamilika. Matiang’i ameweka wazi kwamba kalenda ya mitihani hiyo itaendelea kama ilivyopangwa licha yake kufanyika kipindi kura za urais zikifanyika.

Tags:

KCSE Fred Matiang'i kcpe

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories