Matiang’i aongoza ujumbe wa Wakisii kukutana na rais
Published on: September 13, 2017 08:12 (EAT)
Rais Uhuru Keyatta amepuuzilia mbali kauli ya muungano wa upinzani – NASA – kuwa hawatashiriki katika uchaguzi wa Oktoba kumi na saba. Rais amewataka wana-Nasa kuacha kutoa vitisho vya kila aina na kusema kuwa yeye yuko tayari kumenyana na mgombea wa Nasa Raila Odinga mwezi ujao. Uhuru anasema iwapo hawataki uchaguzi, basi hakuna haja ya kuchelewesha kuapishwa kwake kama rais.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment