Matiangi asisitiza serikali itasambaza vitabu

Uchapishaji wa takriban vitabu milioni sita vinavyolengwa kusambazwa kwa wanafunzi wanaoingia kidato cha kwanza hapo mwakani tayari umeshika kasi. Mashirika kadhaa ya uchapishaji yamejukumiwa kutekeleza shughuli hiyo huku waziri matiang’i akishikilia msimamo kwamba ni serikali pekee itakayosambaza vitabu vya kiada.

Tags:

Matiang’i

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories