Matiangi atoa onyo kwa wanaojaribu kulemeza agizo la kuhamishwa kwa walimu
Published on: January 12, 2018 08:26 (EAT)
Kaimu waziri wa elimu Dkt. Fred Matiang’i leo hii ametoa onyo kali dhidi ya wale wanaotumia fujo kutatiza zoezi la uhamisho wa walimu wakuu. Matiang’i aidha aligusia mikakati ya kuwahusisha makamishna wa kaunti kuhakikisha sio tu usalama katika mashule bali pia katika kuhakikisha kuwa masharti haswa ya karo za shule yanazingatiwa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment