Matiang’i azindua kampeni ‘Peleka watoto shuleni’
Published on: January 17, 2018 08:16 (EAT)
Serikali imeanzisha rasmi oparesheni maalum pwani itakayofahamika kama oparesheni peleka mwanafunzi shuleni iliyolenga wanafunzi waliokamilisha masomo ya darasa la nane na kushindwa kufululiza hadi kidato cha kwanzo. Kulingana na Matiang’i aliyekutana na viongozi na wadau wa elimu kutoka pwani, eneo ambalo limekuwa na idadi ndogo zaidi ya wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza mwaka huu.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment