Matiangi kuongoza shughuli ya kuchagua wanafunzi watakaoingia sekondari
Published on: December 03, 2017 08:30 (EAT)
Uzinduzi wa shughuli nzima ya uteuzi wa wanafunzi watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani utafanyika hapo kesho. Shughuli hiyo itaongozwa na waziri wa elimu Daktari Fred Matiang’i katika taasisi ya kubuni mitaala nchini KICD.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment