Matiang’i: Nitashirikiana na IEBC kukagua vyeti vya elimu vya wanasiasa

Kwa mara ya kwanza humu nchini mgombea anayenuia kuwania kiti chochote cha kisiasa anapaswa kupitia mchujo wa vyeti vyake vya masomo ambapo vitapigwa msasa na idara zilizoko katika wizara ya elimu. Akitangaza hatua hiyo waziri wa elimu Fred Matiang’i amesema kuwa atashirikiana na IEBC kufanikisha ukaguzi huo.

Tags:

IEBC Fred Matiang'i KNEC wizara ya elimu

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories