Matibabu ya saratani yatapatikana nchini

Zaidi ya watu 40, 000 huambukizwa ugonjwa wa saratani kila mwaka na nusu yao hupoteza maisha kutokana na kushindwa kumudu gharama ya matibabu au uhaba wa vituo vya matibabu vyenye suhula za kisasa.
Kama anavyotuarifu mwanahabari wetu Kadzo Gunga maeneo ya Mlima Kenya ndiyo huripoti visa vingi zaidi.

Tags:

cancer MP Shah saratani

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories