Matimbo Ya Masaibu

Familia za watu ishirini waliokamatwa kwa kukaidi amri ya kutolala kwenye matimbo huko Mandera wanasononeka kutokana na yaliyowafika watoto wao na kuitaka serikali kuingilia kati ili waachiliwe. Wanasema kuwa watu hao wanatoka kwa familia maskini na hawawezi kulipa faini ya shilingi elfu sitini ili waachiliwe.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories