Matukio 2016: Gavana Ali Hassan Joho
Published on: December 26, 2016 09:16 (EAT)
Safari yake ya kisiasa imeonekana kushika kasi mwaka wa 2016 huku akionyesha ukomavu wa kisiasa, je ana nia ya kupanda daraja zaidi ? Je ana maoni gani kuhusu serikali ya Jubilee? Tunamzungumzia gavana wa Mombasa Ali Hasan Joho aliyehojiwa kwa mapana na marefu na mwanahabari wetu Lulu Hassan na kuandaa makala yafuatayo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment