Mauaji Ya Kutatanisha
Published on: March 21, 2015 10:36 (EAT)
Alipotea kwao kwa mwezi mmoja…wazazi wake wakatia kila juhudi za kumtafuta na alipopatikana, alikuwa mfu, amezikwa na mumewe katika nyumba yao iliyoko Nyamira. Polisi wakianzisha uchunguzi wao, kijiji kizima cha Isiongo kimeachwa vinywa wazi baada ya tukio hilo la kuogofya huku mshukiwa akizuiliwa. Shisia Wasilwa anatufungulia jamvi la nipashe na taarifa hiyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment