Mauaji ya utata
Published on: March 19, 2017 07:46 (EAT)
Maafisa wa polisi huko Gatanga wanamzuia mwanamume mmoja ambaye ni mshukiwa mkuu wa kutekeleza mauaji ya mfanyabiashara maarufu mjini thika , Joyce Wambui Githitu. Jamaa huyo anayefahamika kama morris mutwiri ni mume wa kijakazi wa mwendazake. Makori ongechi anatupasha taarifa hii kwa kina.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment