Mauaji ya utata

Maafisa wa polisi  huko Gatanga wanamzuia mwanamume mmoja ambaye ni mshukiwa mkuu wa kutekeleza mauaji ya mfanyabiashara maarufu mjini thika , Joyce Wambui Githitu. Jamaa huyo anayefahamika kama morris mutwiri ni mume wa kijakazi wa mwendazake. Makori ongechi anatupasha taarifa hii kwa kina.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories