Mauaji Ya Yebei

Meshack Yebei, aliyekuwa shahidi wa naibu rais William Ruto katika mahakama ya ICC, alitishiwa maisha na shahidi wa Fatou Bensouda kabla ya kifo chake. Kwa mujibu wa wakili wa Ruto, Karim Khan, Bensouda alifahamu kuhusu tisho hilo miezi kadhaa kabla ya kutoweka na kuuawa kwa Yebei.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories