Mazigazi ya Elimu: Madhila ya wanafunzi vyuoni
Published on: June 03, 2017 08:02 (EAT)
Kawaida huwa afueni kwa mzazi na mwanawe wanapoorodheshwa kupokea mkopo wa karo kutoka kwa serikali almaarufu HELB. Lakini je ni vipi wanafunzi waliotoka katika familia maskini wanakijimu vyuoni? Citizen TV inaangazia nafuu inayoleta karaha.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment