Mazigazi ya Elimu: Madhila ya wanafunzi vyuoni

Kawaida huwa afueni kwa mzazi na mwanawe wanapoorodheshwa kupokea mkopo wa karo kutoka kwa serikali almaarufu HELB. Lakini je ni vipi wanafunzi waliotoka katika familia maskini wanakijimu vyuoni? Citizen TV inaangazia nafuu inayoleta karaha.

Tags:

Moi University Nairobi University Kenyatta University Maseno University madhila ya wanafunzi wa vyuo vikuu mazigazi ya elimu

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories