Maziwa ya mauti

Mwanamme mmoja mwenye umri wa makamo anazuiliwa katika gereza la Nakuru GK baada ya kumuua mwanawe mwenye umri wa miaka 6 kutokana na mzozo wa lita moja ya maziwa. Godfrey Muiru pia anadaiwa kumchoma mwanawe mwenye umri wa mwaka mmoja pale mkewe alipodinda kumpa maziwa ambayo yalikuwa yamehifadhiwa watoto hao wawili.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories