Mazungumzo ya kutafutia mgomo wa madaktari suluhu yaanza
Published on: February 17, 2017 08:52 (EAT)
Mazungumzo yanayolenga kutatua mgomo unaoendelea wa madaktari yameanza rasmi hii leo. Mashirika yaliyowakilishwa kwenye kikao cha leo yakiwa ni chama cha mawakili nchini LSK pamoja na shirika la kutetea haki za kibanadamu, KNHCR miongoni mwa washikadau wengine. Na kama anavyoarifu mwanahabari wetu Hassan Farah, mazungumzo hayo yameng’oa nanga siku sita tu kabla ya makataa ya mahakama ya tarehe 23 mwezi huu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment