Mazungumzo ya kutafutia mgomo wa madaktari suluhu yaanza

Mazungumzo yanayolenga kutatua mgomo unaoendelea wa madaktari yameanza rasmi hii leo. Mashirika yaliyowakilishwa kwenye kikao cha leo  yakiwa ni chama cha mawakili nchini  LSK pamoja na shirika  la kutetea haki za kibanadamu, KNHCR miongoni mwa washikadau wengine. Na kama anavyoarifu mwanahabari wetu Hassan Farah, mazungumzo hayo yameng’oa nanga  siku sita tu kabla ya makataa ya mahakama ya tarehe 23 mwezi huu.

Tags:

mgomo wa madaktari

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories