Mbadi: Rais anataka kuhujumu kesi iliyoko mahakamani
Published on: August 25, 2017 09:02 (EAT)
Utata unazidi kuzungira mipango ya kufunguliwa rasmi kwa bunge la kumi na mbili Alhamisi ijayo huku muungano wa Nasa ukisisitiza kuwa Rais Kenyatta angesubiri kwanza mahakama kutoa uamuzi wa kesi inayopinga uchaguzi wa urais. Hata hivyo muungano huo umesita kushikilia uamuzi wa kususia kikao hicho na kusema kuwa utatoa mwelekeo baadaye. Mbunge mteule wa garissa mjini aden duale ametaja vitisho hivyo vya nasa kama undumakuwili.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment