Mbio za Ndakaini
Published on: September 10, 2016 08:45 (EAT)
Patrick Kipngeno na Brigit Kosgei walionyesha uweledi wao katika awamu ya 13 ya mbio za Ndakaini half marathon, katika mashindano ya mbio za Kilomita 21. Kipng’eno aligusia kuhusu kuwepo kwake kwa mashindano ya mwaka huu baada ya kufanya vyema kwenye mashindano ya mbio za Kisii.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment